IQNA

Qiraa ya kipekee ya Qur'ani ya Binti wa Indonesia + Video

Kaysa Ulya Kamal ni binti kutoka Indonesia ambaye amehifadhi Qur'ani Tukufu. Yeye husoma Qur'ani tukufu huku akitoa ishara za mikono. Hapa anasema Surah al-Shams kwa mbinu hiyo.