Iran italisaidia taifa lolote litakalosimama kupambana na utawala ghasibu wa Israel
Sambamba na siku hizi za kuadhimisha mwaka wa 33 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khameni amehutubia Swala ya Ijumaa mjini Tehran akitoa uchambuzi kamili kuhusu matunda na mafanikio ya Mapinduzi ya Kiislamu na kuzungumzia masuala muhimu ya ndani, vitisho vya maadui na hali ya kieneo na kimataifa na vilevile uchaguzi ujao wa Bunge la 9 la Iran.
|
|
Mashindano ya Qur'ani Tukufu kwa vilema yaanza nchini Imarati
Duru ya 12 ya mashindano ya hifdhi, kiraa na tafsiri ya Qur'ani Tukufu maalumu kwa vilema wa viungo vya mwili, yaliyopewa jina la Zawadi ya Ra'sul Kheima yalianza siku ya Jumanne katika ufalme huo unaounda Umoja wa Falme za Kiarabu.
|
|