IQNA

Marufuku ya Hijabu kwa wasichana wadogo Austria yazua lawama za chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Sheria mpya inayowazuia wasichana walio chini ya miaka 14 kuvaa hijabu katika shule za Austria imeibua upinzani mkali, huku makundi ya kutetea haki...

Mwandishi Mkristo: Bibi Zahra (SA) Ni Kielelezo Kamili cha Fadhila

IQNA – Mwandishi Mkristo kutoka Lebanon amemwelezea Bibi Fatima Zahra (SA) kuwa kielelezo kamili cha fadhila, akisema kuwa yeye ndiye nguzo ya imani na...

Mashindano ya 26 ya Qur’ani ya Sheikha Hind bint Maktoum Yakamilika

IQNA- Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai (DIHQA) imetangaza kukamilika kwa Mashindano ya 26 ya Qur’ani ya Sheikha Hind bint Maktoum.

Mkuu wa RTVE Uhispania amkosoa Mkurugenzi wa Eurovision kwa ukimya Kuhusu Gaza

IQNA – Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Umma nchini Uhispania (RTVE), José Pablo López, amemkemea Mkurugenzi wa Mashindano ya Muziki ya Eurovision kwa...
Habari Maalumu
Al-Azhar yawaenzi dada watatu Wamisri waliohifadhi Qur'ani

Al-Azhar yawaenzi dada watatu Wamisri waliohifadhi Qur'ani

IQNA-Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar katika mkoa wa Aswan, Misri, kimewatunuku zawadi na heshima maalumu dada watatu Wamisri waliokamilisha kuhifadhi Qur'ani...
12 Dec 2025, 11:29
Hoja za Qur'ani za Bibi Fatima Zahra (SA) ni kielelezo kwa Waislamu wote
Msomi wa Algeria

Hoja za Qur'ani za Bibi Fatima Zahra (SA) ni kielelezo kwa Waislamu wote

IQNA-Profesa mmoja wa chuo kikuu kutoka Algeria amesema kuwa hoja za Qur'ani Tukufu alizotumia Bibi Fatimah Zahra (SA) katika kutetea misingi ya haki...
12 Dec 2025, 11:37
Kiongozi wa  Ansarullah alaani ukatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wanawake wa Palestina

Kiongozi wa Ansarullah alaani ukatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wanawake wa Palestina

IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen, Abdul‑Malik al‑Houthi, amelaani vikali ukatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wanawake...
12 Dec 2025, 11:17
Wakaazi wasafisha Msikiti uliohujumiwa Virginia Marekani

Wakaazi wasafisha Msikiti uliohujumiwa Virginia Marekani

IQNA-Jamii ya wakazi na majirani wa jiji la Norfolk, jimbo la Virginia nchini Marekani, wamejitokeza kwa wingi kusafisha na kurejesha hadhi ya Msikiti...
12 Dec 2025, 11:22
Mashindano ya Qur'ani Tukufu Oman Yatangaza Washindi

Mashindano ya Qur'ani Tukufu Oman Yatangaza Washindi

IQNA – Washindi wa juu wa Mashindano ya 33 ya Qur'ani Tukufu ya Sultan Qaboos nchini Oman wametangazwa rasmi.
12 Dec 2025, 11:11
Imam Khamenei: Iran inasonga mbele licha ya kukabiliwa na mapungufu mengi

Imam Khamenei: Iran inasonga mbele licha ya kukabiliwa na mapungufu mengi

IQNA- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapiga hatua na kusonga mbele licha ya kukabiliwa na mapungufu...
11 Dec 2025, 20:49
Ripoti: Mufti wa zamani wa Syria ahukumiwa kifo

Ripoti: Mufti wa zamani wa Syria ahukumiwa kifo

IQNA – Baadhi ya vyombo vya habari vimeripoti kuwa Sheikh Badreddin Hassoun, aliyewahi kuwa Mufti Mkuu wa Syria katika utawala wa Bashar al-Assad, amehukumiwa...
11 Dec 2025, 15:08
Mchango wa Wanawake Katika Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

Mchango wa Wanawake Katika Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran

IQNA – Afisa wa Wizara ya Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu Iran amesisitiza nafasi muhimu ya wanawake katika Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani ambayo...
11 Dec 2025, 14:16
Hafla ya usomaji wa Qur’ani katika Haram ya Imamu Ali (AS)

Hafla ya usomaji wa Qur’ani katika Haram ya Imamu Ali (AS)

IQNA – Hafla maalumu ya usomaji wa Qur’ani Tukufu imefanyika wiki hii katika haram tukufu ya Imamu Ali (AS) mjini Najaf, Iraq.
11 Dec 2025, 13:55
Nakala 300 za Qur’ani ya Nukta Nundu (Braille) zasambazwa Indonesia

Nakala 300 za Qur’ani ya Nukta Nundu (Braille) zasambazwa Indonesia

IQNA – Katika mashindano ya kwanza ya kimataifa ya kuhifadhi Qur’ani kwa vipofu nchini Indonesia, nakalah 300 za Qur’ani ya kidijitali kwa mfumo wa nukta...
10 Dec 2025, 17:45
Maonyesho yafanyika pembeni mwa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Misri

Maonyesho yafanyika pembeni mwa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Misri

IQNA – Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu la Misri limeandaa maonyesho maalumu sambamba na Mashindano ya 32 ya Kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika nchini...
10 Dec 2025, 17:35
Darasa za kuhifadhi Qur’ani zinaendelea Gaza licha ya vikwazo

Darasa za kuhifadhi Qur’ani zinaendelea Gaza licha ya vikwazo

IQNA – Licha ya vizuizi vya utawala katili wa Israel na ukosefu wa vifaa, Wapalestina Gaza bado wana hamu ya kujifunza na kuhifadhi Qur’ani Tukufu, na...
10 Dec 2025, 17:09
Haram ya Imam Ali (AS) yapambwa kwa maua katika maadhimisho ya kuzaliwa kwa Bibi Zahra (AS)

Haram ya Imam Ali (AS) yapambwa kwa maua katika maadhimisho ya kuzaliwa kwa Bibi Zahra (AS)

IQNA – Kadiri siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Bibi Fatima Zahra (AS) inavyokaribia, maelfu ya matawi ya maua halisi yamepamba uwanja na ukumbi wa haram...
10 Dec 2025, 16:56
Msomi: Urithi wa Qur’ani wa Ahlul-Bayt usiojulikana miongoni mwa Waislamu wengi

Msomi: Urithi wa Qur’ani wa Ahlul-Bayt usiojulikana miongoni mwa Waislamu wengi

IQNA – Leo, licha ya kuwepo kwa mamia ya majukwaa ya kielimu na ya vyombo vya habari, urithi wa Qur’ani wa Ahlul-Bayt (AS) bado haujulikani kwa Waislamu...
10 Dec 2025, 16:48
Istighfar katika Qur’ani na Maneno ya Imam Ali (AS)
Istighfar Katika Qur’ani Tukufu / 3

Istighfar katika Qur’ani na Maneno ya Imam Ali (AS)

IQNA – Katika Hadithi, Imam Ali (AS) amebainisha hakika ya kuomba msamaha na vigezo vya Istighfar (kuomba maghfirah).
09 Dec 2025, 16:18
Qur’ani Tukufu Kutarjumiwa kwa Lugha ya Kimaasai

Qur’ani Tukufu Kutarjumiwa kwa Lugha ya Kimaasai

IQNA – Tarjuma ya Qur’ani Tukufu kwa lugha ya Kimaasai ipo mbioni kukamilika. Mradi huu mkubwa unaoendeshwa na Taasisi ya Mohammed Bakari ya Kenya unalenga...
09 Dec 2025, 16:08
Picha‎ - Filamu‎