IQNA

Iran yajibu uchokozi wa Israel, yashambulia kambi za kijeshi

IQNA-Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuanzisha “Operesheni Nasr” (Ushindi), likisema limezilenga kambi za kimkakati...

Programu ya Mafunzo kwa Vijana Waislamu katika Mji Mkuu wa Korea Kusini

IQNA – Shirikisho la Waislamu la Korea (KMF) limeandaa programu ya mafunzo kwa vijana Waislamu mjini Seoul.

Wachezaji wa Iraq Waomba Kuvaa Jezi Nyeusi Katika Mechi Dhidi ya Senegal Usiku wa Kuamkia Ashura

IQNA – Timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Iraq inatarajiwa kukutana na Senegal katika mechi ya Kombe la Dunia 2026 usiku wa kuamkia siku ya Ashura baadaye...

Mwimbaji wa Marekani–Indonesia Awasilisha Wimbo wa Kumsifu Imam Ali (+Video)

IQNA – Mwimbaji mashuhuri wa Marekani–Indonesia amewasilisha wimbo maalumu wa kumsifu na kumheshimu Amiri wa Waumini, Imam Ali (AS).
Habari Maalumu
Yemen yatangaza kupiga marufuku ya meli za Israel kupita  Bahari ya Sham

Yemen yatangaza kupiga marufuku ya meli za Israel kupita Bahari ya Sham

IQNA-Vikosi vya Jeshi la Yemen vimetangaza marufuku kamili ya usafiri wa baharini wa Israel katika Bahari Nyekundu (Bahari ya Sham), vikisema kwamba harakati...
08 Jun 2026, 17:38
Vita dhidi ya Iran havikidhi vigezo vya “Vita vya Haki”, asema Papa Leo

Vita dhidi ya Iran havikidhi vigezo vya “Vita vya Haki”, asema Papa Leo

IQNA – Katika kauli yenye ukali dhidi ya sera za Rais wa Marekani Donald Trump, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani amesema kwamba vita vya Marekani na...
07 Jun 2026, 15:54
Msikiti Mkuu wa Taipei wahifadahi utambulisho wa Kiislamu eneo la China la Taiwan
Waislamu wa China

Msikiti Mkuu wa Taipei wahifadahi utambulisho wa Kiislamu eneo la China la Taiwan

IQNA – Kwa kutegemea mradi wa kielimu ulioendelea kwa zaidi ya miaka ishirini, Msikiti Mkuu au Msikiti wa Jamia wa Taipei katika eneo la China la Taiwan...
07 Jun 2026, 15:48
Miaka mitano baadaye, jamii ya London yaungana kuwakumbuka wanafamilia wa Kiislamu waliouawa kikatili katika shambulio la chuki

Miaka mitano baadaye, jamii ya London yaungana kuwakumbuka wanafamilia wa Kiislamu waliouawa kikatili katika shambulio la chuki

IQNA – Miaka mitano baada ya washiriki wanne wa familia moja ya Kiislamu kuuawa kwa kugongwa makusudi na gari katika kitendo ambacho jaji amekitaja kuwa...
07 Jun 2026, 15:41
Idara ya Haramu Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) yakamilisha urekebishaji wa Msahafu adimu

Idara ya Haramu Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) yakamilisha urekebishaji wa Msahafu adimu

IQNA – Idara ya Masuala ya Kifikra na Utamaduni ya Astan au Mamlaka ya Usimamizi ya Haramu Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) iliyopo Karbala, Iraq, imekamilisha...
07 Jun 2026, 15:20
Msikiti Mkuu wa Makkah Kuandaa Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu

Msikiti Mkuu wa Makkah Kuandaa Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu

IQNA – Usajili umeanza kwa wale wanaotaka kushiriki kozi ya majira ya kiangazi ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika Msikiti Mkuu wa Makkah (Masjid Al-Haram).
06 Jun 2026, 19:24
Mmiliki wa Klabu ya Poland akataa uhamisho kwa timu ya ‘Israel’, aitaja kuwa mfano wa Ujerumani ya Nazi

Mmiliki wa Klabu ya Poland akataa uhamisho kwa timu ya ‘Israel’, aitaja kuwa mfano wa Ujerumani ya Nazi

IQNA – Akieleza sababu za kukataa uhamisho wa mchezaji kwenda klabu ya soka ya Israel ya Maccabi Tel Aviv, mmiliki wa klabu ya soka ya Poland ya  Pogon...
06 Jun 2026, 19:16
Wahalifu wahujumu Msikiti wa Moncton, Kanada kwa maandishi ya Chuki Dhidi ya Uislamu

Wahalifu wahujumu Msikiti wa Moncton, Kanada kwa maandishi ya Chuki Dhidi ya Uislamu

IQNA – Polisi wanawatafuta washukiwa baada ya msikiti mmoja katika mji wa Moncton, ulioko kusini-mashariki mwa jimbo la New Brunswick nchini Kanada, kuharibiwa...
06 Jun 2026, 19:06
Makombora ya Iran yalenga vituo vya kijeshi vya Marekani Ghuba ya Uajemi kujibu uchokozi

Makombora ya Iran yalenga vituo vya kijeshi vya Marekani Ghuba ya Uajemi kujibu uchokozi

IQNA-Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeshambulia kambi mbili za anga za Marekani huko Kuwait na vituo vilivyobaki...
06 Jun 2026, 18:50
Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Misri Kufanyika kwa Heshima ya Sheikh Abdel Fattah Shaasha’i

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Misri Kufanyika kwa Heshima ya Sheikh Abdel Fattah Shaasha’i

IQNA – Mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya Misri ya mwaka huu yatafanyika kwa kumbukumbu ya qari mashuhuri marehemu Sheikh Abdel Fattah Shaasha’i.
05 Jun 2026, 22:52
Israel yatumia maafisa wenye misimamo mikali ya Kiyahudi kwa doria katika Msikiti wa Al‑Aqsa

Israel yatumia maafisa wenye misimamo mikali ya Kiyahudi kwa doria katika Msikiti wa Al‑Aqsa

IQNA – Eneo takatifu na muhimu kwa Waislamu katika mji mtukufu wa al‑Quds (Jerusalem) litaanza kusimamiwa na maafisa wa polisi wenye misimamo mikali wa...
05 Jun 2026, 22:45
Mji wa Tehran washuhudia matembezi ya kilomita 10 katika Siku Kuu ya Ghadir

Mji wa Tehran washuhudia matembezi ya kilomita 10 katika Siku Kuu ya Ghadir

IQNA - Joto kali la mwezi Juni katika barabara za Tehran halikuweza kupunguza hamasa na shauku ya wananchi waliojitokeza kushiriki katika “Ugeni wa Ghadir...
05 Jun 2026, 22:23
Kundi la Waislamu Kanada Latoa Wito wa Mkakati wa Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu

Kundi la Waislamu Kanada Latoa Wito wa Mkakati wa Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu

IQNA – Miaka mitano baada ya mwanaume mmoja kuendesha kwa makusudi gari aina ya pickup na kuigonga familia ya Kiislamu iliyokuwa ikitembea kwa miguu mjini...
05 Jun 2026, 22:17
Kiongozi Muadhamu: Mahasimu wa Iran wanatumia mbinu za "vita vya mseto" baada ya kushindwa vibaya kijeshi

Kiongozi Muadhamu: Mahasimu wa Iran wanatumia mbinu za "vita vya mseto" baada ya kushindwa vibaya kijeshi

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema mahasimu wa Iran wamegeukia mbinu za "vita vya mseto"...
04 Jun 2026, 17:57
Wairani waadhimisha mwaka wa 37 tokea alipoaga dunia Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu Imam Khomeini

Wairani waadhimisha mwaka wa 37 tokea alipoaga dunia Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu Imam Khomeini

IQNA-Wananchi wa Iran wa matabaka mbalimbali wameshiriki katika marasimu mbalimbali ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka wa 37 tangu kufariki dunia Imam...
04 Jun 2026, 17:48
Misafara ya mazishi ya Shahidi Imam Khamenei kufanyika Tehran, Qom na Mashhad

Misafara ya mazishi ya Shahidi Imam Khamenei kufanyika Tehran, Qom na Mashhad

IQNA – Misafara ya mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, inatarajiwa kufanyika katika miji mitatu ya Iran,...
03 Jun 2026, 17:58
Picha‎ - Filamu‎