Habari Maalumu
IQNA-Vikosi vya Jeshi la Yemen vimetangaza marufuku kamili ya usafiri wa baharini wa Israel katika Bahari Nyekundu (Bahari ya Sham), vikisema kwamba harakati...
08 Jun 2026, 17:38
IQNA – Katika kauli yenye ukali dhidi ya sera za Rais wa Marekani Donald Trump, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani amesema kwamba vita vya Marekani na...
07 Jun 2026, 15:54
Waislamu wa China
IQNA – Kwa kutegemea mradi wa kielimu ulioendelea kwa zaidi ya miaka ishirini, Msikiti Mkuu au Msikiti wa Jamia wa Taipei katika eneo la China la Taiwan...
07 Jun 2026, 15:48
IQNA – Miaka mitano baada ya washiriki wanne wa familia moja ya Kiislamu kuuawa kwa kugongwa makusudi na gari katika kitendo ambacho jaji amekitaja kuwa...
07 Jun 2026, 15:41
IQNA – Idara ya Masuala ya Kifikra na Utamaduni ya Astan au Mamlaka ya Usimamizi ya Haramu Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) iliyopo Karbala, Iraq, imekamilisha...
07 Jun 2026, 15:20
IQNA – Usajili umeanza kwa wale wanaotaka kushiriki kozi ya majira ya kiangazi ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika Msikiti Mkuu wa Makkah (Masjid Al-Haram).
06 Jun 2026, 19:24
IQNA – Akieleza sababu za kukataa uhamisho wa mchezaji kwenda klabu ya soka ya Israel ya Maccabi Tel Aviv, mmiliki wa klabu ya soka ya Poland ya Pogon...
06 Jun 2026, 19:16
IQNA – Polisi wanawatafuta washukiwa baada ya msikiti mmoja katika mji wa Moncton, ulioko kusini-mashariki mwa jimbo la New Brunswick nchini Kanada, kuharibiwa...
06 Jun 2026, 19:06
IQNA-Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeshambulia kambi mbili za anga za Marekani huko Kuwait na vituo vilivyobaki...
06 Jun 2026, 18:50
IQNA – Mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya Misri ya mwaka huu yatafanyika kwa kumbukumbu ya qari mashuhuri marehemu Sheikh Abdel Fattah Shaasha’i.
05 Jun 2026, 22:52
IQNA – Eneo takatifu na muhimu kwa Waislamu katika mji mtukufu wa al‑Quds (Jerusalem) litaanza kusimamiwa na maafisa wa polisi wenye misimamo mikali wa...
05 Jun 2026, 22:45
IQNA - Joto kali la mwezi Juni katika barabara za Tehran halikuweza kupunguza hamasa na shauku ya wananchi waliojitokeza kushiriki katika “Ugeni wa Ghadir...
05 Jun 2026, 22:23
IQNA – Miaka mitano baada ya mwanaume mmoja kuendesha kwa makusudi gari aina ya pickup na kuigonga familia ya Kiislamu iliyokuwa ikitembea kwa miguu mjini...
05 Jun 2026, 22:17
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema mahasimu wa Iran wamegeukia mbinu za "vita vya mseto"...
04 Jun 2026, 17:57
IQNA-Wananchi wa Iran wa matabaka mbalimbali wameshiriki katika marasimu mbalimbali ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka wa 37 tangu kufariki dunia Imam...
04 Jun 2026, 17:48
IQNA – Misafara ya mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, inatarajiwa kufanyika katika miji mitatu ya Iran,...
03 Jun 2026, 17:58