IQNA

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

Matembezi ya Arbaeen ni dhihirisho lisilo na mfano la uhusiano wa kina kati ya Iran na Iraq

IQNA – Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, ameangazia undani wa mafungamano ya kiutamaduni na ya kiimani kati ya mataifa ya Iran na...

Vijana 600 waliohifadhi Qur’ani Tukufu waenziwa Ukanda wa Gaza

IQNA – Hafla maalumu imeandaliwa kwa ajili ya kuwatunuku zawadi na kuwaenzi vijana 600 waliohifadhi Qur’ani Tukufu katika Ukanda wa Gaza.

Hamas na Jordan zalaani uvamizi wa walowezi wa Kizayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa  Palestina, Hamas, imelaani uvamizi wa walowezi wa Kizayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa jijini Al Quds...

Tarjuma za Kidijitali za Qur’ani Tukufu katika lugha 44 zawekwa mtandaoni

IQNA – Tarjuma na tafsiri za Qur’ani Tukufu katika lugha 44 zimewekwa mtandaoni na zinapatikana bure bila malipo.
Habari Maalumu
Indhari ya Al-Azhar kuhusu kushadidi chuki dhidi ya Uislamu katika Kombe la Dunia

Indhari ya Al-Azhar kuhusu kushadidi chuki dhidi ya Uislamu katika Kombe la Dunia

IQNA-Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Kupambana na Misimamo Mikali kimeonyesha wasiwasi mkubwa kufuatia ongezeko la matamshi ya chuki na chuki dhidi...
23 Jul 2026, 16:04
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yatafanyika ana kwa ana ikiwa hali ya usalama itatengamaa

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yatafanyika ana kwa ana ikiwa hali ya usalama itatengamaa

IQNA – Mkuu wa Shirika la Awqaf na Mambo ya Hisani la Iran amebainisha kuwa hatua ya fainali ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran...
22 Jul 2026, 15:26
Ziara tukufu ya Arbaeen itafanyika kwa usalama wa hali ya Juu

Ziara tukufu ya Arbaeen itafanyika kwa usalama wa hali ya Juu

TEHRAN – Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa hatua zote muhimu zimechukuliwa ili kuhakikisha kuwa ziara...
22 Jul 2026, 15:23
Matembezi ya waliofanikiwa kuhifadi Qur'ani Tukufu  Nchini Morocco

Matembezi ya waliofanikiwa kuhifadi Qur'ani Tukufu Nchini Morocco

IQNA– Katika mwendelezo wa kuenzi utamaduni wa kuhifadhi Qur'ani Tukufu, matembezi makubwa ya wahifadhi wa Qur'ani yamefanyika katika mji wa...
22 Jul 2026, 15:16
Meya Mamdani ataka Marekani itekeleze hati ya kukamatwa kwa Netanyahu kwani ni  mhalifu wa kivita

Meya Mamdani ataka Marekani itekeleze hati ya kukamatwa kwa Netanyahu kwani ni mhalifu wa kivita

IQNA – Meya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, amemtaja Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kuwa ni mhalifu wa kivita, na kuitaka...
22 Jul 2026, 15:08
Sherehe ya kuwaenzi Wahifadhi wa Qur'an nchini Mauritania

Sherehe ya kuwaenzi Wahifadhi wa Qur'an nchini Mauritania

IQNA – Katika mwendelezo wa kuimarisha utamaduni wa elimu ya Kiislamu, sherehe ya kipekee imefanyika katika mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott, kwa ajili...
22 Jul 2026, 14:53
Arbaeen ni fursa ya kipekee ya kueneza utamaduni wa Qur’ani

Arbaeen ni fursa ya kipekee ya kueneza utamaduni wa Qur’ani

IQNA – Mkuu wa Makao Makuu ya Kati ya Arbaeen nchini Iran amesisitiza umuhimu wa matembezi ya kila mwaka ya Arbaeen kama fursa adhimu ya kueneza utamaduni...
21 Jul 2026, 16:03
Muungano wa Walimu wa Marekani wataka Israel isitishe vita Lebanon na kuondolewa mzingiro kwenye bandari za Iran

Muungano wa Walimu wa Marekani wataka Israel isitishe vita Lebanon na kuondolewa mzingiro kwenye bandari za Iran

IQNA – Muungano wa Walimu wa Marekani (American Federation of Teachers - AFT) umeitupia lawama utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kusababisha mgogoro wa...
21 Jul 2026, 15:56
Haram Tukufu ya Najaf yaandaa mafunzo maalumu ya urekebishaji wa hati za kale

Haram Tukufu ya Najaf yaandaa mafunzo maalumu ya urekebishaji wa hati za kale

IQNA – Kozi maalumu ya mafunzo kuhusu urekebishaji na uhifadhi wa hati za kale (manuscripts) imefanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf,...
21 Jul 2026, 15:48
Mfalme wa Uingereza atembelea Msikiti Mkuu wa Kwanza unaohifadhi Mazingira (Eco-Mosque) Ulaya mjini Cambridge

Mfalme wa Uingereza atembelea Msikiti Mkuu wa Kwanza unaohifadhi Mazingira (Eco-Mosque) Ulaya mjini Cambridge

IQNA – Mfalme Charles III wa Uingereza ametembelea Msikiti Mkuu wa Cambridge (Cambridge Central Mosque), ambao ndio msikiti wa kwanza barani Ulaya uliojengwa...
21 Jul 2026, 15:43
Mashindano ya 18 ya Kusoma na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Bosnia na Herzegovina yamalizika

Mashindano ya 18 ya Kusoma na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Bosnia na Herzegovina yamalizika

IQNA – Mashindano ya 18 ya kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Bosnia na Herzegovina yalihitimishwa katika hafla iliyofanyika katika mji mkuu, Sarajevo.
21 Jul 2026, 15:39
Wanazuoni wa Bahrain waonyesha uungaji mkono kwa kauli ya Ayatullah Isa Qassim

Wanazuoni wa Bahrain waonyesha uungaji mkono kwa kauli ya Ayatullah Isa Qassim

IQNA – Wanazuoni wa Bahrain wametangaza uungaji mkono wao kamili na mshikamano wao na kauli ya Ayatullah Sheikh Isa Qassim kuhusu tishio la kuwepo linalowakabili...
20 Jul 2026, 21:41
Mipaka ya Iran iko tayari kwa ajili ya wanaoelekea Ziyara ya Arbaeen

Mipaka ya Iran iko tayari kwa ajili ya wanaoelekea Ziyara ya Arbaeen

IQNA – Vituo vyote ya mipakainayoelekea nchini Iraq sasa vinafanya kazi kikamilifu na viko tayari kurahisisha uingiaji na utokaji wa wafanyaziyara wa...
20 Jul 2026, 21:51
Mtaalamu wa Qur’ani: Kiongozi Shahidi ni Kielelezo cha Maisha ya Qur’ani katika Zama hizi

Mtaalamu wa Qur’ani: Kiongozi Shahidi ni Kielelezo cha Maisha ya Qur’ani katika Zama hizi

IQNA – Mtaalamu na msomaji maarufu wa Qur’ani wa Iran amemuelezea Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kama kielelezo...
20 Jul 2026, 11:35
Wapalestina washerehekea ushindi wa Uhispania katika Kombe la Dunia, wasema ni pigo kwa Wazayuni

Wapalestina washerehekea ushindi wa Uhispania katika Kombe la Dunia, wasema ni pigo kwa Wazayuni

IQNA-Afisa mwandamizi wa Harakati ya Kiislamu ya Mapambano ya Palestina, Hamas, ametoa pongezi za dhati kwa Uhispania kufuatia ushindi wake baada ya mechi...
20 Jul 2026, 11:01
Wazayuni wavamizi wachoma Msikiti na nyumba za Wapalestina Ukingo wa Magharibi

Wazayuni wavamizi wachoma Msikiti na nyumba za Wapalestina Ukingo wa Magharibi

IQNA – Magenge ya walowezi wa Kizayuni yamefanya mfululizo wa mashambulizi ya kikatili usiku wa Jumapili katika miji na vijiji mbalimbali katika wilaya...
20 Jul 2026, 11:43
Picha‎ - Filamu‎