iqna

IQNA

Amhara
TEHRAN (IQNA)- Genge moja la magaidi wa Kikristo lililokuwa limejizatiti kwa silaha nzito limewavamia na kuwaua Waislamu zaidi ya 20 katika mji wa Gondar wa kaskazini mwa Ethioia wakati Waislamu wao walipokuwa kwenye maziko ya mzee mmoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3475181    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/28

TEHRAN (IQNA)- Taasisi ya Kiislamu ya Diyanet (TDV) ya Uturuki imechapisha tarjuma ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kiamhara ya Waislamu wa Ethiopia.
Habari ID: 3471970    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/24