iqna

IQNA

changaamoto,
Katika ujumbe wake uliotolewa kwa mnasaba wa kuanza mwaka mpya wa 1394 Hijria Shamsia, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amelitakia heri na mwaka mpya taifa la Iran na mataifa yote yanayoadhimisha sikukuu ya Nowruz na kuupa mwaka mpya jina la Mwaka wa Serikali na Wananchi, Ushirikiano na Mwelekeo Mmoja.
Habari ID: 3016862    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/21