iqna

IQNA

mabeberu
Khatibu wa Sala ya Ijumaa
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesisitiza kuwa: Uimwengu wa Ubeberu, Ulimwengu wa Uistikbari, Marekani, Uzayuni na kambi Ukufurushaji, zinapigana vita dhidi ya na haki na uadilifu visivyosuluhishika.
Habari ID: 3475892    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/07

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA: Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, daima Uingereza imekuwa chimbuko la vitisho, ufisadi na mabalaa kwa eneo la Magharibi mwa Asia.
Habari ID: 3470747    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/18

Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kujihisi kuwa na majukumu ya kibinadamu, kuwa na maarifa ya kumjua Mwenyezi Mungu na busuri, ni misingi mikuu ya fikra za kimantiki za jeshi la kujitolea la Basiji.
Habari ID: 2612444    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/28