iqna

IQNA

burundi
TEHRAN (IQNA)- Washindi katika mashindano ya kitaifa ya kihifadhi Qur'ani wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyofanyika Jumatano katika Ukumbi wa Kituo cha Kiutamaduni na Kiislamu cha mji w Gitega.
Habari ID: 3472105    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/29

TEHRAN (IQNA)-Tarjumi ya kwanza ya Qur'ani kwa lugha Kirundi imezinduliwa nchini Burundi katika hatua ambayo imetajwa kuwa kihistoria tokea Uislamu uingie nchini humo.
Habari ID: 3471326    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/27

TEHRAN (IQNA)-Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yana washiriki kutoka Tanzania, Malawi na Burundi wamewasili Tehran kuwakilisha nchi zao katika mashindano hayo.
Habari ID: 3470942    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/20

Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yamefanyika nchini Burundi kwa kuhudhuriwa na makumi ya washiriki.
Habari ID: 3361069    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/10