iqna

IQNA

tetemeko
RABAT (IQNA) - Zaidi ya watu 2,000 wamepoteza maisha baada ya tetemeko kubwa la ardhi la ukubwa wa 6.8 kwa kipimo cha rishta, ambalo lilikuwa na nguvu zaidi kuwahi kuikumba nchi hiyo katika miongo sita. Zilzala hiyo iliisubu Morocco siku ya Ijumaa usiku.
Habari ID: 3477579    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/11

Tehran (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitizia mshikamano wa viongozi kwa wahanga wa tetemeko la ardhi katika ngazi ya utendaji sambamba na kuendelea kutolewa misaada kwa watu hao ili kuweza kupunguza matatizo yao.
Habari ID: 3471264    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/15