iqna

IQNA

HARAM
Harakati za Qur'ani
IQNA – Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq imerejesha programu yake ya kila siku ya Khatmul Qur'an.
Habari ID: 3478752    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/30

Harakati za Qur'ani
IQNA - Astan (Mfawidhi) wa Haram tukufu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq, ilimtaja mwandishi mashuhuri wa kaligrafia, Uthman Taha kama shakhsia wa Qur'ani wa mwaka.
Habari ID: 3478413    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/25

Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema leo amezuru Haram tukufu ya Imam Khomeini (MA) na makaburi ya Mashahidi ya Behesht Zahraa sambamba na kuanza maadhimisho ya Alfajiri Kumi za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3478280    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/31

Polisi nchini Nigeria wameendeleza ukatili wa jeshi la nchi hiyo kwa kuwaua Waislamu wanne wa madhehebu ya Shia huku magaidi wa Boko Haram wakiachwa huru kuendeleza mauaji yao.
Habari ID: 3463969    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/16

Kundi la kigaidi Boko Haram limetangaza kuhusika na shambulio dhidi ya msafara wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia waliokuwa katika msafara wa maombolezo ya Imam Hussein AS jimbo la Kaduna nchini Nigeria.
Habari ID: 3458202    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei kabla ya adhuhuri ya leo amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria aliyeko safarini hapa nchini.
Habari ID: 3456282    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/23

Hujuma mbili za kigaidi zilizolenga misikiti kaskazini mashariki mwa Nigeria zimepelekea watu wasiopungua 55 waliuawa na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa.
Habari ID: 3393551    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/25

UNICEF
Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa idadi ya watoto waliolazimika kuyahama makaazi yao kutokana na mashambulio ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram ndani ya Nigeria na katika nchi jirani imefikia milioni moja na laki nne
Habari ID: 3365086    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/19

Magaidi wa Boko Haram hawawezi hata kusoma Qur'ani Tukufu wala kutekeleza maundisho ya dini ambayo wanadai kupigania wanapotekeleza jinai zao, amesema afisa mwandamizi wa jeshi la Nigeria.
Habari ID: 3355686    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/31

Zaidi ya maulamaa na maimamu 300 wa Kiislamu Somalia, Kenya, Tanzania, Ethiopia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wametangaza Fatwa ya kupambana na kundi la kigaidi la al-Shabab na itikadi yenye misimamo mikali ya Uwahhabi.
Habari ID: 3353847    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/30

Taasisi ya juu zaidi ya Waislamu Nigeria, Jama'atu Nasril Islam, JNI, imetangaza kupinga vikali takwa la kupigwa marufuku hijabu nchini humo baada ya baadhi ya magaidi kutumia vazi hilo la stara la kufunika mabomu wanayosheheni mwilini.
Habari ID: 3328801    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/16

Zaidi ya Waislamu 150 wameuawa katika mashambulio ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram kaskazini mwa Nigeria.
Habari ID: 3322598    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/03

Idadi ya watu waliopoteza maisha katika shambulio la kujilipua mjini Maiduguri, kaskazini mashariki mwa Nigeria imeongezeka na kufikia 60.
Habari ID: 3310844    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/03

Waislamu 26 wamepoteza maisha baada ya magaidi wa kundi la kitakfiri la Boko Haram kulipua bomu ndani ya msikiti mmoja katika mji wa Maiduguri kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Habari ID: 3309578    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/31

Rais mteule wa Nigeria Muhammadu Buhari
Rais mteule wa Nigeria amesema kuwa, hakuna dini yoyote ile inayounga mkono jinai zinazofanywa na kundi la kitakfiri la Boko Haram.
Habari ID: 3233862    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/30

Rais Goodluck Jonathan wa Nigeria ameahidi kuwa magaidi wa kundi la Kitakfiri la Boko Haram wataangamizwa katika kipindi cha mwezi moja ujao.
Habari ID: 3015828    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/20

Kinara wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram nchini Nigeria, ametangaza muungano wa kundi hilo na kundi la kigaidi na kitakifiri la Daesh (ISIL).
Habari ID: 2955481    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/09

Magaidi wa kitakfiri wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria wamewaua kwa umati wakaazi wa mji wa Gwoza waliokuwa wamekusanyika kusoma Qur'ani Tukufu kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Habari ID: 2944655    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/08

Kundi la wanamgambo wa kitakfiri la Boko Haram lenye makao yake nchini Nigeria hivi sasa linaiga mbinu sawa na zile zinazotumiwa na kundi la kigaidi na kitakifiri la Daesh (ISIL) nchini Syria.
Habari ID: 2930964    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/05

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amelaani vikali shambulizi la kigaidi kwenye Msikiti Mkuu wa Kano, Nigeria jana Ijumaa, ambalo limeripotiwa kupelekeka kuuawa watu zaidi ya 120 na kuwajeruhi wanaokisiwa kuwa mamia ya wengine.
Habari ID: 2613079    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/29