iqna

IQNA

wapinzani
AL-QUDS (IQNA) - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamasi Ismail Haniyeh alielezea Operesheni ya Kimbunga cha ya Al-Aqsa iliyoanzishwa na vikosi vya upinzani huko Gaza dhidi ya utawala wa Kizayuni kama kushindwa kwa kimkakati kwa Maadui.
Habari ID: 3477748    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/17

BEIRUT (IQNA) - Naibu katibu mkuu wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon alisisitiza uungaji mkono wa mapambano kati ya watu katika nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3477743    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/17

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema kuwa malengo ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati yanatofautiana kwa daraja 180 na ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3432363    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/02