iqna

IQNA

baghdadi
Wizara ya Ulinzi ya Russia
TEHRAN (IQNA)-Russia imetangaza kuwa inachunguza ripoti zinazoashiria kuwa huenda kinara wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh, Abu Bakr Al-Baghdadi ameuawa katika hujuma ya ndege za Russia nchini Syria.
Habari ID: 3471020    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/16

IQNA: Kinara wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh ametoroka mji wa Mosul, Iraq kwa msaada wa wanajeshi wa Marekani katika eneo hilo.
Habari ID: 3470887    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/10

Kinara wa magaidi wakufurishaji wa ISIS (Daesh), Ibrahim al Sammarai, maarufu kama Abu Bakr al-Baghdadi, amepewa sumu akiwa pamoja na makamanda wengine wa kundi hilo katili.
Habari ID: 3470596    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/03

Kinara wa kundi la kigaidi la Daesh au ISIS, Abubakar al-Baghdadi amejeruhiwa katika hujuma ya Jeshi la Anga la Iraq..
Habari ID: 3384677    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/12

Magaidi wa kitakfiri wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria wamewaua kwa umati wakaazi wa mji wa Gwoza waliokuwa wamekusanyika kusoma Qur'ani Tukufu kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Habari ID: 2944655    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/08