iqna

IQNA

salman
TEHRAN (IQNA) – Mfalme Salman wa Saudi Arabia amelazwa hospitalini katika mji mkuu wa nchi hiyo, Riyadh kutokana na matatizo ya kibofu cha nyongo.
Habari ID: 3472981    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/20

TEHRAN (IQNA)- Mfalme Salman wa Saudia Jumatano alimtimua mrithi wa kiti chake na kumkabidhi nafasi hiyo mwanaye Muhammad bin Salman katika hatua iliyotajwa kuwa ni mapinduzi katika utawala.
Habari ID: 3471031    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/22

Taasisi moja ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa imetaka mwanazuoni mashuhuri wa Bahrain aachiliwe huru kwani anashikiliwa kinyuma cha sheria na utawala wa Aal Khalifa.
Habari ID: 3444271    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/07

Mfalme Salman wa Saudi Arabia ametoa amri ya kukusanywa kanda zote za kamera zilizosajili maafa ya kusikitisha ya Mina.
Habari ID: 3372681    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/28

Gazeti la al Diyar la Lebanon
Imearifiwa kuwa msafara wa mwanamfalme wa Saudia, Mohammad Bin Salman Aal Saud katika eneo la Mina, ndiyo sababu ya kupelekea msongamano na kufariki maelfu ya mahujaji katika eneo hilo karibu na mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3369304    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/25

Wabahrain wamefanya maandamano ya kulaani na kukosoa siasa hizo za ukandamizaji na utiwaji nguvuni wapinzani hasa Sheikh Ali Salman, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kitaifa ya Wifaq.
Habari ID: 3320158    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/27

Mahakama ya Bahrain imemuhukumu Sheikh Ali Salman, Katibu Mkuu wa chama cha Kiislamu cha al Wifaq kifungo cha miaka minne jela, baada ya jaji mkuu kutupilia mbali dai lililotolewa na wakili wa kiongozi huyo wa kisiasa na kidini kuhusiana na ushahidi wa uongo uliotolewa dhidi yake.
Habari ID: 3315303    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/17

Idara ya Haki za Binadamu katika Umoja wa Mataifa imebainisha wasi wasi wake kuhusu kuteswa wafungwa katika magereza nchini Bahrain na kwa mara nyingine kuwataka wakuu wa nchi hiyo wamuachilie huru mara moja kiongozi wa upinzani Sheikh Ali Salman.
Habari ID: 3312250    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/08

Askari wa Bahrain wamewashambulia wananchi waliokuwa wakiandamana kwa amani kwa mnasaba wa kumbukumbu ya uingiliaji wa kijeshi wa Saudi Arabia nchini Bahrain, wananchi wa Bahrain wamejitokeza mitaani kulalamika na kupinga kuwepo vikosi vamizi vya Saudi Arabia katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.
Habari ID: 3001292    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/03/17