iqna

IQNA

mashindano
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya kila mwaka ya Qur'ani katika jimbo la Sabah nchini Malaysia yamezinduliwa katika mji wa Kota Kinabalu Jumatano
Habari ID: 3478727    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/24

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Misri inaandaa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani kwa wenye vipaji maalumu lengo likiwa ni  kukuza utamaduni wa Kiislamu.
Habari ID: 3478716    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/22

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Jopo la waamuzi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yanayoendelea Port Said, Misri, limewataja washindi wa duru ya kwanza.
Habari ID: 3478314    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/06

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Mashindano ya 24 YA Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yalianza Jumamosi jioni.
Habari ID: 3478165    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/08

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Hatua ya awali ya Mashindano ya 40 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran itaanza wikendi hii.
Habari ID: 3478095    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
IQNA - Tehran imeandaa shindano la kuchagua wawakilishi wa Iran katika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu kwa wanafunzi wa shule.
Habari ID: 3478029    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/13

Mashindano ya Qur''ani
TEHRAN (IQNA) – Qari wa Misri ametwaa taji la toleo la pili la mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya "Awal Al Awail" nchini Qatar.
Habari ID: 3477886    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/13

Mashindano ya Qur'ani
JAKARTA (IQNA) - Kituo cha Qur'ani chenye mfungamano na Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) nchini Iraq kimeandaa mashindano ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Indonesia, na ku wahifadhi 200 kutoka kote nchini.
Habari ID: 3477802    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/28

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Toleo la 30 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jordan yamemefungwa huko Amman Jumatatu usiku.
Habari ID: 3476886    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/18

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Idara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ilitangaza uzinduzi wa usajili kwa ajili ya mashindano ya 13 ya Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3476477    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/28

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Kuwait imeandaa mashindano ya mabingwa wa Qur’ani katika kategoria za wanawake na wanaume.
Habari ID: 3474714    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/23

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu Misri imetangaza washindi wa Mashindano ya 28 ya Kimataifa ya Qur’ani yaliyofanyika wiki hii mjini Cairo.
Habari ID: 3474681    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/16

TEHRAN (IQNA)- Ahmed Garg Rupari, Naibu Mwenyekiti wa Kamati ya Ubunifu ya Manispaa ya Al Rahmaniya katika mji wa Sharjah huko Umoja wa Falme za Kiarabu ametangaza kuzinduliwa mashindano ya Qur’ani yaliyopewa jina la ‘Soma Qur’ani.”
Habari ID: 3474381    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema kuwa kuufahamu na kuufanyia kazi usuli wa Qur'ani wa "Kumwamini Mwenyezi Mungu na kumpinga Shetani" kutaupa izza na heshima umma wa Kiislamu na akaongezea kwa kusema hii leo ulimwengu wa ukafiri umekusudia kufuta utambulisho wa Kiislamu katika kila pembe ya dunia.
Habari ID: 3470954    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/27

IQNA: Washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Iran wametunukiwa zawadi katika hafla iliyofanyika mjini Tehran Ijumaa.
Habari ID: 3470855    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/18

IQNA-Awamu ya 12 ya Mashindano ya Kila Mwaka ya Qur’ani ya Amerika Kaskazini yamepangwa kufanyika mjini Toronto, Canada mwaka 2017.
Habari ID: 3470752    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/21

IQNA-Mashindano ya kimatiafa ya Qur'ani Tukufu kwa ajili ya wanafunzo wa vyuo vikuu vya Kiislamu (Hawza) nchini Iran yamepangwa kufanyika katika mji mtakatifu wa Qum.
Habari ID: 3470695    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/24

Kumefanyika mashindano ya adhana katika mji mkuu wa Denmark, Copenhagen wikiendi iliyopita.
Habari ID: 3470580    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/26

Kituo cha Utamduni cha Iran nchini Nigeria kinashirikiana na al-Afrikiy Islamic TV kuandaa mashindano ya Qur’ani katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
Habari ID: 3470540    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/29

Duru ya tano ya mashindano ya kimatiafa ya Qur’ani ya wanafunzi wa shule yatafanyika nchini Iran mwezi Februari mwaka 2017.
Habari ID: 3470493    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/04