iqna

IQNA

somalia
Wanaharakati Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Daktari Hawa Abdi alikuwa daktari wa Somalia na mwanaharakati wa haki za binadamu ambaye alilinda maisha ya makumi ya maelfu ya Wasomali wakati wa miaka ya vita, njaa na kufurushwa.
Habari ID: 3477601    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/15

Vita dhidi ya ugaidi
TEHRAN (IQNA) – Mmoja wa waanzilishi wenza wa kundi la kigaidi la al-Shabaab, Abdullahi Nadir, ameuawa katika operesheni ya pamoja ya kijeshi mwishoni mwa juma, serikali ya Somalia ilisema.
Habari ID: 3475873    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/03

TEHRAN (IQNA)- Magaidi wa kundi la al Shabaab wa nchini Somalia mapema leo wameshambulia vituo vya polisi na vya upekuzi katika mji mkuu Mogadishu. Kundi hilo la kigaidi limefanya hujuma hiyo huku Somalia ikijiandaa kwa uchaguzi wa rais ulioakhirishwa mara kadhaa.
Habari ID: 3474935    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/16

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Hissen Brahim Taha amelaani vikali hujuma ya kigaidi Somalia ambayo ilipelekea karibu watu 8 wapoteze maisha.
Habari ID: 3474814    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/16

TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua 10 wameuawa katika hujuma ya kigaidi huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.
Habari ID: 3474796    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/12

TEHRAN (IQNA)- Magaidi wakufurishaji wa al Shabab wameshambuia mji mmoja wa karibu na Mogadishu, mji mkuu wa Somalia na kuua watu wasiopungua saba.
Habari ID: 3474747    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/31

TEHRAN (IQNA) - Kwa uchache watu 8 wameuawa na wengine zaidi ya 15 wamejeruhiwa hii leo katika mlipuko wa bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari karibu na shule moja katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3474598    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/25

TEHRAN (IQNA)- Kikosi Maalumu cha Jeshi la Taifa la Somalia (SNA) jana Jumatatu kiliua wanachama saba wa genge la kigaidi la al Shabab wakati kikosi hicho kilipoendesha operesheni maalumu za kuwasaka magaidi hao katika eneo la Shabelle la kusini mwa Somalia.
Habari ID: 3474385    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/05

TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua kumi wameuawa baada kundi la kigaidi la Al Shabab kutekeleza hujuma katika mghahawa mmoja wenye shughuli nyingi kwenye makutano ya barabara ya Jubba, katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3474067    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/03

TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua 20 wameuawa na wengine 30 wamejeruhiwa katika shambulio la kigaidi la mripuko wa bomu lililotegwa garini uliotokea nje ya mkahawa mmoja ulioko karibu na bandari katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3473710    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/06

TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa umelaani vikali shambulizi la kigaidi lilofanywa Jumapili kwenye 'Hotel Afrika' katika mji mkuu Mogadishu na kusababisha vifo vya watu kadhaa na wengine wengi kusalia majeruhi.
Habari ID: 3473615    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/02

TEHRAN (IQNA) – Madrassah za Qur’ani nchini Somalia maarufu kama Duksi zinaendelea kuwa tumaini kwa watoto nchini humo pamoja na kuwepo mazingira magumu ya kiuchumi, kijamii na umasikini mkubwa.
Habari ID: 3473506    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/30

TEHRAN (IQNA) – Waalimu watano wa Qur'ani wameuawa baada ya kufyatuliwa risasi na magadi katika kikao cha kusoma Qur'ani Tukufu kusini mwa Somalia.
Habari ID: 3473182    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/18

TEHRAN (IQNA) – Watu wasiopungua sita wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya gaidi kufyatua bomu baada ya swala ya Ijumaa katika msikiti uliooko katika bandari ya Kismayo, kusini mwa Somalia.
Habari ID: 3473159    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/11

TEHRAN (IQNA) - Watu wasiopungua 16 wameuawa mjini Mogadishu Somalia na makumi ya wengine kujeruhiwa, kufuatia shambulio la magaidi wakufurishaji wa al-Shabab katika Hoteli ya Elite.
Habari ID: 3473076    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/17

TEHRAN (IQNA) – Kupunguzwa kwa kiasi kikubwa idadi ya Waislamu waliotekeleza ibada ya Hija mwaka huu kumeathiria vibaya sana uchumi wa Somalia ambapo hutegemea uuzaji wa mamilioni ya mifugo nchini Saudia wakati wa Hija.
Habari ID: 3473022    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/01

TEHRAN (IQNA) – Watu wasiopungua watano wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa kufuatia hujuma za kigaidi nchini Somalia.
Habari ID: 3472927    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/04

TEHRAN (IQNA)- Qatar imefadhili ujenzi wa kituo cha elimu na miradi kadhaa ya maendeleo katika mji wa Kismayo nchini Somalia.
Habari ID: 3472882    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/20

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Imam Ali AS mjini Stockholm, Sweden kimeandaa mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa njia ya intaneti .
Habari ID: 3472762    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/13

TEHRAN (IQNA) – Mesut Ozil mchezaji soka mashuhuri wa timu ya Arsenal katika Ligi ya Premier ya England ametoa mchango wa dola laki moja za Kimarekani kuwasaidia Waislamu ambao wameathiriwa vibaya na janga la COVID-19 au corona katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472730    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/03